Unverified

DAWASCO WAKATA MIPIRA YA MAJI

13:05 Jul 26 2012 Muharitani

Description
Shirika la maji safi na maji taka wamewashtukiza wakaazi wa mtaa wa muharitani na kukata mabomba maji ya watu wasiolipa bili na kuchukua matanki ya maji, mabomba hayo walikuwa wameunganishiwa wanchi binafsi katika nyumba zao ila walikuwa hawalipi bili za maji. Zoezi hilo limefanyika chini ya viongozi wa dawasco na mwenyekiti wa mtaa wa muharitani. Kulingana na kuwa Tandale hamna maji, hii inasababisha kuendelea kuwa na tatizo kubwa la maji hasa katika maeneo waliyokatiwa mabomba hayo (Muharitani).
Credibility: UP DOWN 0
Leave a Comment
Name:
Email:
Comments:
Security Code:
Captcha

Additional Reports

TOPE LAZAGAA BARABARANI

13:18 Jun 08, 2012

Tandale Sokoni, 0.11 Kms

BENK JAMII

13:54 Jun 18, 2012

Pakacha, 0.12 Kms

SOKO LA TANDALE LIMEBOLESHWA

10:51 Jun 13, 2012

sokoni, 0.12 Kms

Mali zinaibiwa sokoni Tandale

09:07 Aug 19, 2011

Sokoni Tandale, 0.12 Kms

Mali zinaibiwa sokoni Tandale

09:07 Aug 19, 2011

Sokoni Tandale, 0.12 Kms