Verified

SIKU YA MADAWA YA KULEVYA

13:20 Jun 29 2012 Sokoni

Description
Siku ya madawa ya kulevya imeadhimishwa katika wilaya ya kinondoni kata ya Tandale mgeni rasmi alikuwa waziri wa mambo ya ndani muheshimiwa Emanuel Nchimbi
Credibility: UP DOWN 0
Comments
chillumanga (Jul 13 2012)
pamoja ni jukumu la jamii nzima inahusika ktk kuhakikiksha inafanikiwa kupiga vita madawa ya kulevya,ni lazima kiwepo chombo maalumu na sio kutegemea police wawe wanamkamata mtu mmojamoja.
Msilikale (Jul 15 2012)
Ila pia Mr. Chillumanga lazima kuwe na Support kutoka kwa serikali ambayo imebeba vyombo vyote vya dola ili kuwe na support kwa wana jamii ambao watakuwa tayari kuwafichua hao watu.
Leave a Comment
Name:
Email:
Comments:
Security Code:
Captcha

Additional Reports

UKOSEFU WA MAJI

09:59 Aug 19, 2011

Sokoni TandaleAM, 0.07 Kms

Watu wajitokeza kuomba ukarani na ukarani uandamizi wa Sensa

13:36 Jul 26, 2012

Muharitani, 0.1 Kms

Infrastructure Improvement at Tandale Sokoni

09:30 Jun 24, 2012

Morogoro Rd, Morogoro Rd, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania, 0.11 Kms

SOKO LA TANDALE LIMEBOLESHWA

10:51 Jun 13, 2012

sokoni, 0.15 Kms

MAENEO YA WAZI KWA AJILI YA MICHEZO

10:35 Aug 24, 2011

KWATUMBO, 0.17 Kms