Unverified

TOPE LAZAGAA BARABARANI

13:18 Jun 8 2012 Tandale Sokoni

Description
Katika barabra ya Tandale kwa Mtogole kuelekea Tandale Sokoni kumekuwa na tatizo sugu la kuzagaa kwa tope hali inayosabishwa na sababu zifuatazwo:- KUTOKUWEPO KWA MIFEREJI YA MAJI TAKA Kihistoria tangu barabara hiyo imejengwa hakuna mifereji ya maji taka, hivyo kusababisha maji kutiririka bila mwelekeo maalum na kusababisha tope kuzagaa JAMII KUTOTUNZA MAZINGIRA Kumekuwa na tatizo kijamii kwa wakazi kutozingatia swala la Afya na usafi wa mazingira kwa kutiririsha hovyo maji taka barabarani na kusababisha madimbwi yanayosababisha mazalia ya mbu waaleta ugonjwa wa malaria na magonjwa ya milipuko yatokanayo na tatizo la kutokuzingatia kanuni za afya na usafi wa mazingira.
Credibility: UP DOWN 0
Leave a Comment
Name:
Email:
Comments:
Security Code:
Captcha

Additional Reports

Matengenezo ya kiwanda cha ukusanyaji wa Taka

13:02 Sep 09, 2012

Mtogole, 0.11 Kms

DAWASCO WAKATA MIPIRA YA MAJI

13:05 Jul 26, 2012

Muharitani, 0.11 Kms

BENK JAMII

13:54 Jun 18, 2012

Pakacha, 0.12 Kms

AJALI YATOKEA MAENEO YA MTOGOLE

08:52 Aug 23, 2011

Mtogole, 0.18 Kms

TATIZO LA TAKA NGUMU

09:04 Aug 22, 2011

Muhalitani Tandale, 0.18 Kms