Showing Reports From Aug 18, 2011 through Sep 09, 2012 Change Date Range
Or choose your own date range:
Takataka zimezagaa barabarani 0 Verified
16:14 Sep 09, 2012
Katika maeneo ya tandale mkunduge nimekuta takataka zimetelekezwa barabarani, hi ni kutokana na kile kilichosemekana kuwa magari ya taka yalitakiwa...
More Information »
« Less Information
Morogoro rd, morogoro rd, kinondoni, dar es salaam, tanzania
Watu na mazingira 0 Verified
13:56 Sep 09, 2012
Maeneo ya Tandale mpakani mwa Muharitani na Mtogole kuna ununuzi wa chupa na vyuma chakavu kitu ambacho ni hatari kwa wakazi wa maeneo hayo....
More Information »
« Less Information
Matengenezo ya kiwanda cha ukusanyaji wa Taka 0 Verified
13:02 Sep 09, 2012
Eneo la Tandale Kiboko Bar katika mpaka wa Mtogole na Muharitani kuna matengenezo ya kiwanda cha ukusanyaji wa taka kutoka kwenye majumba ya...
More Information »
« Less Information
Maji machafu maeneo ya mwenge 0 Verified
10:18 Aug 23, 2012
Kuna maji machafu ambyayo yanatoa harufu maeneo ya barabara ambayo inatoka mwenge stand. Yanatoa harufu sana, yanaweza yakawa yanatoka kwenye...
More Information »
« Less Information
University rd, university rd, kinondoni, dar es salaam, tanzania
Categories
Disease OutbreaksMIFEREJI YAPULIZIWA SUMU KUPUNGUZA MBU. 1 Verified
13:41 Jul 31, 2012
Baadhi ya mifereji, mitaro na mabwawa katika mtaa wa Mtogole imepuliziwa sumu ili kuua Mbu waenezao Malaria na magonjwa mengine.
wananchi...
More Information »
« Less Information
INSUFFICIENCY OF CLEAN WATER 0 Unverified
12:14 Jun 14, 2012
Maji ni tatizo Tandale kwa sababu ni muda mrefu Tandale maji safi ya kunywa hayatoki kwa hiyo maji yanaletwa na magari na mengine yanatoka sehemu...
More Information »
« Less Information
Gali la taka linakusanya taka 0 Unverified
06:32 Jun 10, 2012
Sasaivi gari la taka linapita kwenye maeneo ya Manzese wakikusanya taka na wanataka ulipie Tsh 3000.
More Information »
« Less Information
Categories
SanitationTAASISI IMEJITOKEZA KUDHAMINI WANANCHI KATIKA UJENZI WA VYOO 0 Unverified
01:49 Jun 09, 2012
Taasisi ya CCI (ushirika wa mikopo nafuu) imejitokeza kudhamini mikopo ya bei nafuu kwa wananchi wa mtaa wa Mkunduge ili waweze kujenga vyoo...
More Information »
« Less Information
Categories
SanitationBarabara Ya Tandale Sokoni imejengwa Na Sasa Inapitika Vizuri. 0 Unverified
17:15 Apr 22, 2012
Barabara ya Dandale Sokoni kwa sasa ni nzuri tu baada ya kuwa imejengwa na wale wafanya biashara wote ambao walikuwa wamepanga biashara zao...
More Information »
« Less Information
Morogoro Rd, Morogoro Rd, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Massive Production Of Wastes In Tandale Market. 0 Unverified
22:25 Jan 15, 2012
In tandale market there is a massive production of wastes from the fruits that are sold there. And due to the absence of waste container that...
More Information »
« Less Information
Bagamoyo Rd, Bagamoyo Rd, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Categories
HealthVegitables Around The Dirty Areas 0 Unverified
05:00 Nov 09, 2011
In tandale there are areas where the community cultivate the vegitables for selling and get money and sometime they use as food (eating). But...
More Information »
« Less Information
Morogoro Rd, Morogoro Rd, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
Categories
SanitationRAINING SEASON AT TANDALE 0 Unverified
09:17 Oct 09, 2011
If you would like to experience the worst part of tandale try to visit the place during rain season and you will experience the issue of poor...
More Information »
« Less Information
Breeding Mosquito Larvae 5 Verified
13:46 Sep 02, 2011
Mosquito larve, a cause of malaria and sickness.
More Information »
« Less Information
UJENZI HOLELA 6 Unverified
10:38 Aug 24, 2011
Kwa tumbo watu wanajenga nyumba bila mpangilio hivyo inasababisha msongamano wa nyumba, kuziba njia, nk kwa hiyo njia zinakuwa hazipitiki hasa...
More Information »
« Less Information
Categories
Disease OutbreaksMAGONJWA SUGU 0 Unverified
11:37 Aug 22, 2011
Yafuatayo ni magonjwa sugu ambayo ni tatizo kubwa sana kwa wakazi wa eneo la mtogole na endapo wakazi wake wasipopata elimu ya kutosha kuhusiana...
More Information »
« Less Information
Categories
Dumping SitesTATIZO LA TAKA NGUMU 5 Unverified
09:04 Aug 22, 2011
kusambaa kwa taka ngumu mfano karatasi za plastic ambazo haziharibiki/haziozi mapema pia zinatupwa hovyo hovyo hasa katika vinjia vinavyopita...
More Information »
« Less Information
Categories
Dumping SitesMIFEREJI KUJAA TAKA 0 Unverified
08:49 Aug 22, 2011
Mifereji mingi ya mtogole imejaa taka na hii inatokana na wananchi wa mtogole wenyewe kutupa taka kwenye mifereji ya maji taka na kusababisha...
More Information »
« Less Information
Categories
Disease OutbreaksMaji machafu 0 Unverified
11:47 Aug 19, 2011
Tumekuta maji yamejaa hadi kwenye makazi ya watu na maji hayo yanaonekana si salama kutokana na langi ya maji hayo, basiwatu wanaoishi eneo...
More Information »
« Less Information
Categories
SanitationMAZINGIRA 0 Unverified
10:09 Aug 19, 2011
Tatizo la uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na baadhi ya wakazi kuunganisha mabomba ya maji taka miferejini,taka kuzagaa vichochoroni,barabarani,vyoo...
More Information »
« Less Information
Categories
SanitationUKOSEFU WA VYOO 0 Unverified
09:50 Aug 19, 2011
UKWATUOSEFU MAALUM WA VYOO WASABABISHA WATU KUJISAIDIA SEHEMU ZISIZO MAALUM.
More Information »
« Less Information