Watoto wengi wanapenda kucheza ili kujifulahisha katika michezo hiyo ipo mizuri na mibaya na nihatali kwao, kwao hiyo wanaitaji ulinzi na uangalizi wanapokuwa katika michezo yao.
Katika mto ngombe watoto hupenda sana kucheza lakini sio sehemu salama kwao kwani sehemu hiyo kuna wadudu wabaya na chupa zilizovuchika zinaweza zikawakata.
Wito kwa wazazi na walezi tuwachunge watoto wanapokuwa kwenye michezo yao ili kuwaepusha na majanga.
Tag Archives: watoto
Reply
WATOTO NA MICHEZO HATARISHI
Watoto wanahitaji uangalizi hasa katika michezo yao wanaocheza na sehemu wanazotembelea .
kama watoto hawa wamekutwa wakicheza katika jalala la taka ambayo ni hatari kwao kwani wanaweza kujikata au kupata magonjwa ya mlipuko nilijalibu kuwafukuza hawakutaka kunisika.
WATOTO NA MICHEZO
WATOTO NA MICHEZO YAO
Watoto wanapenda sana michezo bila kuangalia ule mchezo wachezao kwao una usalama gani. watoto hawa wamekutwa wakicheza juu ya mti huku wenzao wengine wakishangilia na wengine kuwatupia mawe wenzao. nawaomba wazazi na walezi tuwe makini na watoto wetu hasa sehemu wanazopenda kwenda kucheza. watoto hao waliondoka baada ya kufukuzwa.
WATOTO NA MICHEZO
MICHEZO GEMU NA KUBETI
Katika kata ya tandale hususani mitaa yote sita kuna michezo ya gemu na kubeti mipira ya ulaya michezo hiyo imekua vikwazo bhbbbhas kwa watoto wanaacha kwenda shule na kuishia kwenye kucheza gemu na kuiba pesa kwa wazazi wao au walezi wao ili waende kubeti, na muda mwingi humaliza katika michezo hiyo hata.