Kipindi hiki cha mmvua zinazoendelea kunyesha kuna hatari ya kutokea magonjwa ya mlipuko katika kata ya tandale. mara nyingi mmvua zinaponyesha baadhi ya watu ufungulia mitaro yao na kusababisha maji kusambaa ovyo na wengine kutupa taka katika mitaro na mitaro hiyo kuziba na maji kutililika katika makazi ya watu.hali hiyo ni hatali zaidi kwa watoto ambao wao mmvua ikinyesha upenda kuogelea.