Mashindano ya mpira wa miguu ya chief cup bado ni kipima joto kwa timu zinazoshiliki.timu nyingine tayali zimejiakikishia kuingia kwenye atua ya robo fainali, huku nyingine zikingojea na kuomba dua mwenzake afungwe ili yeye apite.Ukweli mashindano hayo yamekuja na sura ya tofauti kabisa na kujizolea mashabiki wengi nyakati za jioni wakishuhudia mashindano na vipaji vya vijana chipikizi.